CEO BANK YA KILIMO AAHIDI KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KUSAIDIA UFUGAJI SAMAKI

Mkurugenzi wa bank ya kilimo TADB, Frank Mugeta amesema benki hiyo itaendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania katika kuwazesha ukuaji wa sekta ya uvuvi kwa kuwawezesha makundi ya vijana na wakinamama katika swala la ufugaji wa samaki ambao wanatajwa kuwa chachu ya maendeleo na ajara kwa watu wengi Mugeta amesema kutokana na ongezekeo la binadamu